IQNA

Maadhimisho

Maadhimisho ya Miaka 21 ya Kuanzishwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA)

IQNA- Makumi ya maafisa na wanaharakati wa Qur'ani wameadhimisha mwaka wa 21 wa kuanzishwa kwa kwa Shirika la Kimataifa la Habari za Qur'ani (IQNA).
Shujaa Muislamu

Kijana wa Kiislamu aenziwa kwa ujasiri wa uokoaji wa watu 100+ katika hujuma ya kigaidi Moscow

IQNA - Kijana wa Kiislamu ambaye aliokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi dhidi ya ukumbi wa tamasha mjini Moscow, ameendelea kupongezwa...
Mwezi wa Ramadhani

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 17 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 17

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
Habari Maalumu
Kiongozi Muadhamu: Muqawama usio na kifani Gaza umeutukuza Uislamu
Diplomasia ya Kiislamu

Kiongozi Muadhamu: Muqawama usio na kifani Gaza umeutukuza Uislamu

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, Muqawama (mapambano ya Kiislamu) usio na kifani wa vikosi vya Muqawama...
27 Mar 2024, 13:21
Makumi ya maelfu katika mjumuiko mkubwa zaidi wa Qur’ani Iran
Harakati ya Qur'ani

Makumi ya maelfu katika mjumuiko mkubwa zaidi wa Qur’ani Iran

IQNA - Katika kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Hassan Mujtaba (AS), mkusanyiko mkubwa zaidi wa wanaharakati Qur'ani Tukufu nchini Iran umefanyika...
27 Mar 2024, 13:35
Mashindano ya Qur’ani ya Afrika yafanyika Tanzania
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Qur’ani ya Afrika yafanyika Tanzania

IQNA- Fainali za 24 za Mashindano ya Quran Tukufu Afrika yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al Hikma Foundation kwa kushirikisha nchi mbalimbali 22 za Afrika...
27 Mar 2024, 14:14
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 16

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
27 Mar 2024, 04:59
Mjumuiko mkubwa wa futari Rafah pamoja na kuwepo hujuma ya Israel
Ukanda wa Gaza

Mjumuiko mkubwa wa futari Rafah pamoja na kuwepo hujuma ya Israel

IQNA – Mjumuiko mkubwa wa futari umefanyika katika mji wa Rafah, kusini mwa Gaza, licha ya kuendelea mashambulizi ya utawala haramu Israel dhidi ya mji...
26 Mar 2024, 16:02
Wasimamizi wa Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi watumishi wa Qur'ani
Maonyesho ya Qur'ani

Wasimamizi wa Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi watumishi wa Qur'ani

IQNA - Hafla itafanyika katika toleo la 31 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran kuwaenzi wanaharakati na watumishi kadhaa mashujaa wa Qur'ani...
26 Mar 2024, 15:50
Wanafunzi Waislamu wa Chuo Kikuu cha Washington walengwa kwa barua ya kuchukia Uislamu
Chuki dhidi ya Uislamu

Wanafunzi Waislamu wa Chuo Kikuu cha Washington walengwa kwa barua ya kuchukia Uislamu

IQNA - Jumuiya ya Wanafunzi Waislamu wa Kisomali (SSA) ya Chuo Kikuu cha Washington Seattle (SSA) imelengwa kwa barua ya chuki dhidi ya Uislamu.
26 Mar 2024, 15:37
Maonyesho ya Qu'rani yanakuza mwingiliano wa Qur'ani miongoni mwa mataifa ya Kiislamu
Maonyesho ya Qur'ani

Maonyesho ya Qu'rani yanakuza mwingiliano wa Qur'ani miongoni mwa mataifa ya Kiislamu

IQNA - Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ni fursa ya kujenga maingiliano na ushirikiano kati ya mataifa ya Kiislamu katika nyanja tofauti...
26 Mar 2024, 15:07
Qari wa Iran ashika nafasi ya tatu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tanzania
Mashindano ya Qur'ani

Qari wa Iran ashika nafasi ya tatu katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tanzania

IQNA - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 20 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tanzania ameshika nafasi ya tatu.
25 Mar 2024, 18:44
Islam, mvulana mwenye umri wa miaka 15 aliokoa maisha ya zaidi ya watu 100 wakati wa hujuma ya kigaidi Moscow
Shujaa

Islam, mvulana mwenye umri wa miaka 15 aliokoa maisha ya zaidi ya watu 100 wakati wa hujuma ya kigaidi Moscow

IQNA - Mvulana mwenye umri wa miaka 15 anayeitwa Islam amesifiwa baada ya kuokoa zaidi ya watu 100 wakati wa shambulio la kigaidi kwenye ukumbi wa tamasha...
25 Mar 2024, 18:30
Msomi  wa Qurani wa China atembelea maonyesho ya Tehran
Waislamu China

Msomi  wa Qurani wa China atembelea maonyesho ya Tehran

IQNA - Sheikh Yaqub Mashidu ni msanii wa Kichina na mfasiri wa Qur'ani ambaye amehudhuria Awamu ya 31 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran.
25 Mar 2024, 18:11
Kikao cha mafunzo ya Qur'ani nchini Russia chafanyika Tehran
Maonyesho ya Qur'ani

Kikao cha mafunzo ya Qur'ani nchini Russia chafanyika Tehran

IQNA - Kongamano la kujadili masomo ya Qur'ani nchini Russia au Urusi limefanyika kama sehemu ya Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran.
25 Mar 2024, 14:32
Ufafanuzi Mpya wa 'Msimamo Mkali' nchini Uingereza walenga Waislamu
Waislamu Uingereza

Ufafanuzi Mpya wa 'Msimamo Mkali' nchini Uingereza walenga Waislamu

IQNA - Ufafanuzi wa hivi majuzi wa itikadi kali uliopendekezwa na serikali ya Uingereza umelaaniwa kwa kuwalenga Waislamu nchini humo.
24 Mar 2024, 15:13
Wizara ya Wakfu ya Kuwait yaandaa Mashindano ya Qur'ani ya Familia
Qur'ani Tukufu

Wizara ya Wakfu ya Kuwait yaandaa Mashindano ya Qur'ani ya Familia

IQNA - Toleo la 4 la Mashindano ya Familia ya Qur'ani lilianza nchini Kuwait siku ya Ijumaa.
24 Mar 2024, 14:51
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 14
Mwezi wa Ramadhani

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 14

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 14 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
25 Mar 2024, 11:32
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 14
Mwezi wa Ramadhani

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 14

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
25 Mar 2024, 05:36
Picha‎ - Filamu‎