iqna

IQNA

quds tukufu
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Al-Aqsa ya Indonesia iimelaani vikalia hatua ya hivi karibuni ya walowezi wa Kizayuni wa Israel kusherehekea mwaka mpya wa Kiyahudi katika Msikiti wa Al-Aqsa huko al-Quds (Jerusalem) na Msikiti wa Ibrahimi huko Al-Khalil (Hebron).
Habari ID: 3475855    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe mwandamizi wa ofiisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatumia vibaya udhaifu ambao umeugubika ulimwengu wa Kiarabu na hivyo kuudhibiti mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ulio mjini humo.
Habari ID: 3475846    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/27

Kadhia ya Quds
TEHRAN(IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameashiria mpango wa Uingereza wa kuuhamisha ubalozi ulioko Tel Aviv hadi Quds Tukufu(Jerusalem) na kueleza kuwa: hatua hiyo haibadili kivyovyote uhakika wa kihistoria.
Habari ID: 3475835    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Palestina
TEHRAN (IQNA) – Jordan itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kuhusu mji mtakatifu wa Al-Quds (Jerusalem) mwezi ujao.
Habari ID: 3475834    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Msikiti wa Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Leo 21 Agosti inatambuliwa kama Siku ya Kimataifa ya Msikiti kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la Agosti 21, 1969 wakati Mzayuni Michael Dennis Rohan alipoitekteza moto sehemu ya Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3475658    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21

Quds Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Taasisi za Kiislamu mjini Al Quds (Jerusalem) ziliionya utawala wa Kizayuni wa Israel siku ya Jumapili dhidi ya upanuzi wa Lango la Magharbeh ndani ya eneo la Msikiti wa Al-Aqsa.
Habari ID: 3475566    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la kaskazini la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kupaza sauti zao za kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina la Israe katika safari yake ya kwanza ya Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) kama rais wa Marekani.
Habari ID: 3475504    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15

Hali ya Quds
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds (Jerusalem) na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.
Habari ID: 3475435    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/28

Udhalimu wa Israel
TEHRAN (IQNA) - Nyumba za Wapalestina zilibomolewa na wanajeshi wa utawala dhalimu Israel huko Al-Quds (Jerusalem) na mji wa Ukingo wa Magharibi wa Ramallah siku ya Jumatano.
Habari ID: 3475412    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/22

Palestina na Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)-Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani vikali hujuma za hivi karibu za walowezi Waisraeli dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3475322    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Hali ya Al Quds na Palestina
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) umetoa wito kwa Waislamu duniani kote na viongozi wa mataifa ya Kiislamu kuutetea Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Al Quds (Jerusalem) ambao unakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3475318    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

Msikiti wa Al Aqsa wahujumiwa
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Wazayuni ya kuuvunjia heshima msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu. Msikiti huo uko katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475313    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30

TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Misri ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutekeleza "njama mbovu" za kuangamiza utambulisho wa Kiarabu na Kiislamu wa mji wa Quds (Jerusalem) na kuvuruga maeneo yake matakatifu ya kidini.
Habari ID: 3475281    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) pamoja na kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulijaribu kuwazuia waumini kufika katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475270    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/27

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hujuma iliyofanywa na walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na askari wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa.
Habari ID: 3475129    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/15

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina walisaidia katika kusafisha Msikiti wa Al-Aqsa huko katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao uko katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kukoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475082    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa kituo cha afya na majengo mengine kadhaa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474766    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Mpalestina amekataa dola milioni tano za Kimarekani kutoka wa Wazayuni ambao walikuwa wanataka kumiliki nyumba yake katika mtaa wa Sheikh Jarrah mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474661    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani hujuma za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474353    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28