IQNA

UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

IQNA – Agizo limetolewa la kuandaa Sala ya Istisqa (kuomba mvua) katika misikiti yote ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) siku ya Ijumaa.

Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

IQNA – Baada ya miezi kadhaa ya kufungwa kutokana na mashambulizi ya angani, Msikiti wa Al-Tawhid ulioko katika kambi ya wakimbizi ya Al-Shati, Gaza, umefunguliwa...

Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

IQNA-Idara Kuu ya Mambo ya Kiislamu, Awqaf na Zakat ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuanza kwa usajili wa toleo la pili la Emirates International...
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu (Sehemu ya Pili)

Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)

IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana...
Habari Maalumu
Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
13 Oct 2025, 23:53
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu...
13 Oct 2025, 23:46
Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja
Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1

Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia...
13 Oct 2025, 23:27
Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika...
13 Oct 2025, 23:37
Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
13 Oct 2025, 23:32
Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Hujjatul-Islam Habibollah Zamani, amesisitiza kuwa njia bora ya kuwahimiza watoto kuswali ni kwa wazazi kuishi kwa mfano...
12 Oct 2025, 09:43
Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga...
12 Oct 2025, 09:16
JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

IQNA –jumuiya ya Waislamu wa Fiji (FML) imetoa tangazo rasmi kwa Waislamu nchini humo kwamba haijaidhinisha McDonald's Fiji kuwa 'Halal'
12 Oct 2025, 07:02
Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi...
11 Oct 2025, 19:37
Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha...
11 Oct 2025, 19:29
Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu...
11 Oct 2025, 18:44
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Mwanasiasa kutoka Venezuela, Bi Maria Corina Machado, ambaye ametunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2025, ametakiwa kuomba msamaha na kujitenga...
11 Oct 2025, 19:19
Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
11 Oct 2025, 18:19
Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran

Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba...
10 Oct 2025, 23:38
Sherehe  ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

Sherehe ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

IQNA – Sherehe ya watu wa Gaza kwa ajili ya kusitishwa kwa vita ni yao pekee, si ya Donald Trump, ambaye ametangaza kuwa atatembelea eneo hilo kuchukua...
10 Oct 2025, 23:31
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika...
10 Oct 2025, 19:20
Picha‎ - Filamu‎