IQNA

Shiraz ni mwenyeji wa Mkutano wa 7 wa Kimataifa Kuhusu Sira ya Mtume (SAW) katika Tiba

IQNA – Mkutano wa 7 wa Kimataifa kuhusu Sira (Maisha na Mwenendo) wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) katika nyanja ya tiba umeanza siku ya Jumatano katika...

Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kigeni wa Al-Azhar yapongezwa

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha...

Mtaalamu wa Qur’an asema wanaoibua mitindo ya qiraa wawe na uzoefu miaka 15

IQNA – Mtaalamu mashuhuri wa Qur’an amesema kuwa wanafunzi wa usomaji wa Qur’an wanapaswa kutumia angalau miaka 15 kuiga na kuumudu mitindo ya wasomaji...

Waziri Mkuu wa Uingereza aapa kupambana na Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA-Katika kikao cha maswali ya kila wiki bungeni, Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer alitangaza kuwa chuki dhidi ya Waislamu ni jambo la kuchukiza...
Habari Maalumu
Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

IQNA – Mwanamke kutoka mji wa Qena, Misri, ameweza kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 80, licha ya kutokuwa na elimu ya kusoma na...
19 Nov 2025, 20:32
Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

IQNA – Sharjah imezindua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu, tukio la siku 70 linaloangazia urithi wa sanaa za Kiislamu kutoka duniani kote.
19 Nov 2025, 20:26
Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu...
19 Nov 2025, 16:26
Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu mbinu na njia za kuhifadhi na kukarabati nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu za mwanzo imefanyika nchini Yemen.
19 Nov 2025, 16:08
Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa...
19 Nov 2025, 15:55
Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

IQNA – Sheikh Ekrima Sabri amesema mamlaka za Kizayuni zinapotosha dhana za Kiislamu kwa malengo ya kisiasa, wakati akikabiliwa na kesi mjini al-Quds kwa...
18 Nov 2025, 17:49
Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu / 12

Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi

IQNA – Mojawapo ya matumizi muhimu ya kanuni ya ushirikiano ni katika uwanja wa uchumi, ingawa uhusiano kati ya kanuni ya ushirikiano katika Qur’ani na...
18 Nov 2025, 17:19
Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika...
18 Nov 2025, 17:15
Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu...
18 Nov 2025, 17:09
Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

IQNA – Qari wa kimataifa kutoka Iran amesema kuwa kisomo cha mashindano mengi kina upungufu wa kina cha hisia, na ametoa rai ya kuwepo kwa viwango vya...
18 Nov 2025, 17:01
Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa...
17 Nov 2025, 14:42
Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

IQNA-Duru ya tatu kwa mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani nchini Nepal imeingia hatua ya mwisho, Jumapili. Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Da‘wa na Mwongozo...
17 Nov 2025, 14:37
Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

IQNA – Hafla ya kuaga kundi la kwanza la wanafunzi wanaoelekea katika ibada ya Hija ndogo ya Umrah kutoka vyuo vikuu imefanyika mjini Tehran Jumapili,...
17 Nov 2025, 11:10
Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

IQNA – Wazungumzaji katika mkutano kuhusu Maulana Jalaluddin Rumi uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, wameangazia namna dunia ya sasa inavyohitaji mafundisho...
17 Nov 2025, 11:21
Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni kusitisha ukiukaji wa makubaliano ya...
17 Nov 2025, 11:03
Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud...
16 Nov 2025, 15:45
Picha‎ - Filamu‎