Habari Maalumu
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
13 Oct 2025, 23:53
IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu...
13 Oct 2025, 23:46
Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1
IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia...
13 Oct 2025, 23:27
IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika...
13 Oct 2025, 23:37
IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
13 Oct 2025, 23:32
IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Hujjatul-Islam Habibollah Zamani, amesisitiza kuwa njia bora ya kuwahimiza watoto kuswali ni kwa wazazi kuishi kwa mfano...
12 Oct 2025, 09:43
IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga...
12 Oct 2025, 09:16
IQNA –jumuiya ya Waislamu wa Fiji (FML) imetoa tangazo rasmi kwa Waislamu nchini humo kwamba haijaidhinisha McDonald's Fiji kuwa 'Halal'
12 Oct 2025, 07:02
IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi...
11 Oct 2025, 19:37
IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha...
11 Oct 2025, 19:29
IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu...
11 Oct 2025, 18:44
IQNA – Mwanasiasa kutoka Venezuela, Bi Maria Corina Machado, ambaye ametunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2025, ametakiwa kuomba msamaha na kujitenga...
11 Oct 2025, 19:19
IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
11 Oct 2025, 18:19
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba...
10 Oct 2025, 23:38
IQNA – Sherehe ya watu wa Gaza kwa ajili ya kusitishwa kwa vita ni yao pekee, si ya Donald Trump, ambaye ametangaza kuwa atatembelea eneo hilo kuchukua...
10 Oct 2025, 23:31
IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika...
10 Oct 2025, 19:20