IQNA

Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu...

Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

IQNA – Katika hatua ya mshikamano wa kimazingira na kisiasa, Waislamu wa Kenya walipanda takribani miti 10,000 katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi kwa...

Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini...

Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki,...
Habari Maalumu
Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini...
03 Nov 2025, 17:00
Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Semina Kuhusu Dhana ya ‘Muda’ Katika Qur’ani

Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Semina Kuhusu Dhana ya ‘Muda’ Katika Qur’ani

IQNA – Chuo Kikuu cha Gujrat, Kampasi ya Hafiz Hayat, nchini Pakistan kimeandaa semina maalum yenye kichwa cha habari “Dhana ya Muda kwa Mujibu wa Qur’ani...
02 Nov 2025, 17:08
Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Usiku wa Qur’ani kwa Mwaka Mwingine

Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Usiku wa Qur’ani kwa Mwaka Mwingine

IQNA – Chuo cha Masomo ya Kiislamu cha Sarajevo kimeandaa tukio lake la kila mwaka la “Usiku na Qur’ani,” likiwakutanisha wanafunzi na wahifadhi wa Qur’ani...
02 Nov 2025, 17:01
Qari wa Misri atoa wito wa Umoja Miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu

Qari wa Misri atoa wito wa Umoja Miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Qari maarufu wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, ametoa wito wa kuepuka mifarakano miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu kufuatia mjadala ulioibuka...
02 Nov 2025, 16:45
Kujenga Mfano Hai wa Qur’ani: Msingi wa Jamii Inayoongozwa na Qur’ani – Mtaalamu wa Kiislamu

Kujenga Mfano Hai wa Qur’ani: Msingi wa Jamii Inayoongozwa na Qur’ani – Mtaalamu wa Kiislamu

IQNA – Lengo la elimu ya Qur’ani linapaswa kwenda mbali zaidi ya kuhifadhi, kuelekea kuunda “watu wa mfano wa Qur’ani hai” wanaoathiri jamii kupitia mwenendo...
02 Nov 2025, 15:09
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Misri Yaanza Hatua ya Awali kwa Washiriki wa Kimataifa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Misri Yaanza Hatua ya Awali kwa Washiriki wa Kimataifa

IQNA – Mitihani ya awali imeanza rasmi kwa washiriki wa kimataifa wanaojiandaa kushiriki katika Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani, yanayoandaliwa...
02 Nov 2025, 14:47
Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/7

Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii

IQNA – Msingi wa jamii ni ushirikiano, kushirikiana, na kubadilishana manufaa. Kwa hivyo, mtazamo wa kielimu wa Kiislamu umechukulia ushirikiano kuwa miongoni...
01 Nov 2025, 19:59
Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu...
01 Nov 2025, 19:23
Matawi Mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani Yazinduliwa Misri

Matawi Mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani Yazinduliwa Misri

IQNA – Kituo cha Maendeleo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Kigeni katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza uzinduzi wa matawi mawili...
01 Nov 2025, 19:10
Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

IQNA – Kuzungumzia suala la “ Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama” si chochote ila ni ndoto ya kufikirika, kwani maana yake ni kuwavua watu utashi wao...
01 Nov 2025, 19:19
Mwanazuoni: Siku ya Kiyama Itakuwa Maonyesho ya Majuto ya Watu Waliohadaiwa

Mwanazuoni: Siku ya Kiyama Itakuwa Maonyesho ya Majuto ya Watu Waliohadaiwa

IQNA – Akifafanua dhana ya Yawm At-Taghābun, mwanazuoni wa chuo kikuu cha kidini kutoka (Hawzah) Iran amesema kuwa katika Siku ya Kiyama, mtu ataonyeshwa...
01 Nov 2025, 19:04
Muislamu Mjapani asema Qur'ani ni Kama “Dawa Iliyoponya Baada ya Madaktari Kushindwa”

Muislamu Mjapani asema Qur'ani ni Kama “Dawa Iliyoponya Baada ya Madaktari Kushindwa”

IQNA – Mhubiri wa Kiislamu mzaliwa wa Japani, Fatima Atsuko Hoshino, amesema kuwa Qur'ani Tukufu imempa majibu ya maswali aliyokuwa nayo kwa muda...
31 Oct 2025, 17:33
Malaysia Yatumia Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) Kuharakisha Uchapishaji Nakala za Qur'ani

Malaysia Yatumia Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) Kuharakisha Uchapishaji Nakala za Qur'ani

IQNA – Serikali ya Malaysia imezindua mfumo mpya uitwao iTAQ unaotumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuharakisha mchakato wa kuthibitisha usahihi wa...
31 Oct 2025, 17:22
Mtafiti Asema Qur'ani Tukufu Inahimiza Mazungumzo ya Kitamaduni kwa Msingi wa Heshima na Kutambuana

Mtafiti Asema Qur'ani Tukufu Inahimiza Mazungumzo ya Kitamaduni kwa Msingi wa Heshima na Kutambuana

IQNA – Mwanazuoni wa masuala ya dini, Reza Malazadeh Yamchi, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inatoa msingi wa maadili kwa uelewano baina ya tamaduni,...
31 Oct 2025, 17:16
Mwanachuoni mkongwe wa Qur'an kutoka Misri, Sheikh Ghalban, aenziwa

Mwanachuoni mkongwe wa Qur'an kutoka Misri, Sheikh Ghalban, aenziwa

IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban,...
31 Oct 2025, 17:11
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Nchini Kyrgyzstan Yafikia Tamati

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Nchini Kyrgyzstan Yafikia Tamati

IQNA – Mashindano ya Tatu ya Kitaifa ya Qur'an nchini Kyrgyzstan yametamatika rasmi kwa hafla maalum iliyofanyika siku ya Jumatano.
31 Oct 2025, 17:07
Picha‎ - Filamu‎