IQNA

Istighfar katika Qur’ani Tukufu /4

Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.

Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha tukio la Sydney

IQNA – Shambulio la kigaidi Sydney lililosababisha vifo na majeruhi limezua mijadala mikubwa ya kisiasa na kimtandao, ikiwemo hoja kuhusu namna tukio hili...

Msikiti wa Bucharest: Urithi wa uvumilivu na maisha ya pamoja

IQNA – Msikiti wa Hunkar uliopo Bucharest, mji mkuu wa Romania, unasimama kama alama ya jadi ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Ulaya katika kuenzi uvumilivu...

Mjumuiko kijijini Misri kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani

IQNA – Shule ya kuhifadhi Qur’ani ya “Ibad al-Rahman” iliyopo kijiji cha Atu, karibu na mji wa Bani Mazar katika mkoa wa Minya kaskazini mwa Misri, iliandaa...
Habari Maalumu
Hafidh wa Qur’ani kutoka Hamedan kuwakilisha Iran Mashindano ya Bangladesh

Hafidh wa Qur’ani kutoka Hamedan kuwakilisha Iran Mashindano ya Bangladesh

IQNA – Mehdi Barandeh, mmoja wa wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani nchini Bangladesh, anatarajiwa kuondoka kuelekea nchi...
16 Dec 2025, 15:17
Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Iran: Raundi ya Awali Yaendelea

Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Iran: Raundi ya Awali Yaendelea

IQNA – Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanaendelea katika raundi ya awali, ambayo mwaka huu yanafanyika...
15 Dec 2025, 20:42
Wanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Georgia Wafanya Ziara ya Umoja katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Wanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Georgia Wafanya Ziara ya Umoja katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wanazuoni wa Kiislamu kutoka Georgia umezuru Haram ya Imam Ridha (AS) jini Mashhad, Iran, ambapo wamekutana na maafisa wa...
15 Dec 2025, 20:49
Msimu wa Pili wa Mashindano ya Qur’ani kwa Vijana Bangladesh Wapangwa kwa Mwezi wa Ramadhani

Msimu wa Pili wa Mashindano ya Qur’ani kwa Vijana Bangladesh Wapangwa kwa Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Kampuni ya TK Group, mojawapo ya makampuni makubwa nchini Bangladesh, imetangaza mipango ya kuandaa msimu wa pili wa mashindano ya usomaji wa Qur’ani...
15 Dec 2025, 20:38
Watoto wa mashahidi wa Gaza waheshimiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Watoto wa mashahidi wa Gaza waheshimiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Watoto arobaini na wanne wa mashahidi ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameheshimiwa katika hafla maalumu huko Gaza.
15 Dec 2025, 20:35
Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa afariki dunia

Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa afariki dunia

IQNA – Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa katika al‑Quds (Jerusalem) ameaga dunia baada ya maisha marefu ya ibada katika Qibla cha kwanza cha Waislamu.
14 Dec 2025, 19:18
Makundi ya haki za binadamu, wakazi walaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Texas

Makundi ya haki za binadamu, wakazi walaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Texas

IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa...
14 Dec 2025, 19:14
I.M.A.M.: Muhtasari wa Taasisi ya Waislamu wa Kishia Amerika Kaskazini

I.M.A.M.: Muhtasari wa Taasisi ya Waislamu wa Kishia Amerika Kaskazini

IQNA – Katika jiji la Dearborn, Michigan, kuna taasisi ya Kishia iliyodumu kwa miaka mingi, ikifanya kazi kimya kimya bila makuu, lakini ikiwa na athari...
14 Dec 2025, 19:10
Sheikh Abdul Wahid Radhi: Qari Mashuhuri wa Misri aliyetambulika kwa unyenyekevu katika qiraa

Sheikh Abdul Wahid Radhi: Qari Mashuhuri wa Misri aliyetambulika kwa unyenyekevu katika qiraa

IQNA – Marehemu Sheikh Abdul Wahid Zaki Radhi alikuwa miongoni mwa magwiji wa usomaji wa Qur’ani nchini Misri, akijulikana kwa unyenyekevu wake katika...
14 Dec 2025, 19:03
Marufuku ya Hijabu kwa wasichana wadogo Austria yazua lawama za chuki dhidi ya Uislamu

Marufuku ya Hijabu kwa wasichana wadogo Austria yazua lawama za chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Sheria mpya inayowazuia wasichana walio chini ya miaka 14 kuvaa hijabu katika shule za Austria imeibua upinzani mkali, huku makundi ya kutetea haki...
13 Dec 2025, 16:41
Mwandishi Mkristo: Bibi Zahra (SA) Ni Kielelezo Kamili cha Fadhila

Mwandishi Mkristo: Bibi Zahra (SA) Ni Kielelezo Kamili cha Fadhila

IQNA – Mwandishi Mkristo kutoka Lebanon amemwelezea Bibi Fatima Zahra (SA) kuwa kielelezo kamili cha fadhila, akisema kuwa yeye ndiye nguzo ya imani na...
13 Dec 2025, 16:35
Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum Yakamilika

Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum Yakamilika

IQNA- Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA) imetangaza kukamilika kwa Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum.
13 Dec 2025, 16:27
Mkuu wa RTVE Uhispania amkosoa Mkurugenzi wa Eurovision kwa ukimya Kuhusu Gaza

Mkuu wa RTVE Uhispania amkosoa Mkurugenzi wa Eurovision kwa ukimya Kuhusu Gaza

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Umma nchini Uhispania (RTVE), José Pablo López, amemkemea Mkurugenzi wa Mashindano ya Muziki ya Eurovision kwa...
13 Dec 2025, 16:22
Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani...
12 Dec 2025, 11:29
Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote
Msomi wa Algeria

Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote

IQNA-Profesa mmoja wa chuo kikuu kutoka Algeria amesema kuwa hoja za Qur'ani Tukufu alizotumia Bibi Fatimah Zahra (SA) katika kutetea misingi ya haki...
12 Dec 2025, 11:37
Picha‎ - Filamu‎