Habari Maalumu
IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:01
IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
29 Dec 2025, 13:23
IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa...
29 Dec 2025, 13:17
IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah...
29 Dec 2025, 13:09
IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
29 Dec 2025, 12:59
IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo...
28 Dec 2025, 15:21
IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa...
28 Dec 2025, 15:56
IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani...
28 Dec 2025, 15:50
IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
28 Dec 2025, 15:39
IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
28 Dec 2025, 15:44
IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache...
28 Dec 2025, 15:34
Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7
IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada...
27 Dec 2025, 20:06
IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu...
27 Dec 2025, 19:49
IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani...
27 Dec 2025, 19:33
IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
27 Dec 2025, 19:14
IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
27 Dec 2025, 18:49