IQNA

Mtazamo

Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi...

Baraza Kuu la UN laidhinisha kuundwa Dola la Palestina

IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana,...

Waswasi watanda baada ya Msikiti wa Taunton Uingereza kuvunjwa katika tukio la chuki

IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi...

Nasaha za Mtume Muhammad (SAW) Kuhusu Qur’ani na Vikao vya Qur’ani

IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu...
Habari Maalumu
Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika...
13 Sep 2025, 15:46
Mafundisho ya Mtume (SAW) kwa lugha ya kisasa ni daraja zama za kale na zama hizi

Mafundisho ya Mtume (SAW) kwa lugha ya kisasa ni daraja zama za kale na zama hizi

IQNA – Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW), yakielezwa kwa lugha ya leo, yanaweza kusaidia kuziba pengo kati ya zama za kale na maisha ya kisasa, sambamba...
13 Sep 2025, 15:43
Nakala ya Qur'ani ya karne ya 17 iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu huko Lucknow, India

Nakala ya Qur'ani ya karne ya 17 iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu huko Lucknow, India

IQNA – Katika mtaa wa kihistoria wa Farangi Mahal mjini Lucknow, mahali muhimu katika harakati za India za utamaduni na uhuru, kuna hazina ya kipekee:...
12 Sep 2025, 19:12
Mwanazuoni: Mtume Muhammad (SAW) alikuja kumkomboa mwanadamu

Mwanazuoni: Mtume Muhammad (SAW) alikuja kumkomboa mwanadamu

IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad un Nabii kwa kutoa...
12 Sep 2025, 18:36
Kiongozi wa Hizbullah: Shambulizi dhidi ya Qatar ni sehemu ya Mpango wa ‘Israel Kubwa’

Kiongozi wa Hizbullah: Shambulizi dhidi ya Qatar ni sehemu ya Mpango wa ‘Israel Kubwa’

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya mji...
12 Sep 2025, 17:58
Mbunge wa Uskochi ataka Israel ifungiwe kushiriki michezo Ulaya  kutokana na jinai zake Gaza

Mbunge wa Uskochi ataka Israel ifungiwe kushiriki michezo Ulaya kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Mbunge mmoja kutoka Uskochi nchini Uingereza amewasilisha hoja rasmi akitaka mashirika ya michezo barani Ulaya kuiondoa Israel katika mashindano ya...
12 Sep 2025, 17:48
Wafanyakazi wa Msikiti Mkuu wa Makka wapewa mafunzo ya Huduma ya Kwanza

Wafanyakazi wa Msikiti Mkuu wa Makka wapewa mafunzo ya Huduma ya Kwanza

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu stadi za msingi za huduma ya kwanza imefanyika kwa wafanyakazi wa Msikiti Mkuu, Masjid Al Haram, ulioko katika mji mtukufu...
12 Sep 2025, 17:51
Tamko la Mwisho la Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu: Umoja ni Wajibu wa Kutekelezwa

Tamko la Mwisho la Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu: Umoja ni Wajibu wa Kutekelezwa

IQNA – Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu umehitimishwa Tehran, Iran kwa tamko la mwisho lililoangazia kuwa mshikamano wa Waislamu ni hitajio lisilokwepeka...
11 Sep 2025, 22:37
Iraq yatoa stempu ya kumbukumbu kwa Maadhimisho ya Miaka 1,500 Tangu Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

Iraq yatoa stempu ya kumbukumbu kwa Maadhimisho ya Miaka 1,500 Tangu Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Msimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) huko Karbla, Iraq ametangaza kutolewa kwa stempu maalum ya kumbukumbu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 1,500...
11 Sep 2025, 18:37
Mwanazuoni wa Al-Azhar: Mtume (SAW) Ni Kielelezo Cha Milele

Mwanazuoni wa Al-Azhar: Mtume (SAW) Ni Kielelezo Cha Milele

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa Al-Azhar, Dkt. Salama Abd Al-Qawi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) kwa kutoa wito wa kutafakari urithi...
11 Sep 2025, 18:32
Mtume Muhammad (SAW) Alikuwa ‘Kiumbe Mkamilifu Zaidi Aliyepambwa Kwa Sifa za Juu za Kibinadamu’

Mtume Muhammad (SAW) Alikuwa ‘Kiumbe Mkamilifu Zaidi Aliyepambwa Kwa Sifa za Juu za Kibinadamu’

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi wa Waislamu wa madhehebu Kishia nchini Iraq, Ayatullah Mkuu Mohammad al-Yaqoobi, ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad...
11 Sep 2025, 18:21
Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

Rais wa Iran alaani ugaidi wa Israel wa kuwalenga viongozi wa Hamas jijini Doha

IQNA-Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya...
10 Sep 2025, 11:15
Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

Israel yashambulia Doha kuwalenga viongozi wa Hamas

IQNA-Ndege za kivita za Israel zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya makao makuu ya harakati za upinzani za Hamas katika mji mkuu wa Qatar, Doha,...
10 Sep 2025, 11:28
Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

Mufti Mkuu wa Kroatia afafanua amri ya Mtume (SAW) kuhusu Umoja wa Waislamu

IQNA – Mufti Mkuu wa Kroatia, Sheikh Aziz Hasanović, amesema kuwa Mtume Mtukufu Muhammad (rehema na amani zimshukie) ameitoa amri kwa Ummah wa Kiislamu—na...
09 Sep 2025, 14:32
Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Tehran Wataka Kususiwa Kikamilifu kwa Utawala wa Kizayuni

IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa wanawake uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji...
09 Sep 2025, 14:38
Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

Wanasayansi kutoka India, Uturuki na Iran watunukiwa Tuzo ya Mustafa (SAW) ya Mwaka 2025

IQNA – Wanasayansi watatu mashuhuri ambao ni Mohammad K. Nazeeruddin kutoka India, Mehmet Toner kutoka Uturuki, na Vahab Mirrokni kutoka Iran wametangazwa...
09 Sep 2025, 14:00
Picha‎ - Filamu‎