IQNA

Kambi ya Qur’ani yaandaliwa katika kisiwa cha Mahibadhoo, Maldives

IQNA – Kambi inayojumuisha mashindano matatu ya usomaji wa Qur’ani (Tilawa), warsha za ufundishaji, na hafla maalum ya watoto imepangwa kufanyika huko...

Waislamu nchini Uingereza wahimizwa kusali Swala ya Istisqa (Swala ya kuomba mvua)

IQNA – Katikati ya ukame usio wa kawaida na uhaba mkali wa maji unaotishia sekta ya kilimo na mazingira, wanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza wametoa...

Maandamano Marib, Yemen kulaani matusi ya Kizayuni-Mmarekani dhidi ya Qur’ani Tukufu

IQNA – Wananchi katika mkoa wa Marib nchini Yemen wamefanya maandamano na matukio ya kulaani vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur’ani katika nchi za Magharibi.

Ni saa zipi zenye utulivu zaidi katika Msikiti Mtukufu wa Makka?

IQNA – Mahujaji wa Umra wanashauriwa kupanga ziara zao katika Msikiti Mtukufu wa Makka (Masjid al Haram) wakati wa vipindi vyenye msongamano mdogo.
Habari Maalumu
Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ nchini Algeria: Miaka 24 ya Kujenga Kizazi cha Haki

IQNA – Shule ya Qur’ani ya ‘Gaza’ iliyoko katika mkoa wa Hama Bouziane, jimbo la Constantine nchini Algeria, imejitolea kwa miaka 24 kufundisha na kuwezesha...
15 Aug 2026, 20:33
Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

Wimbi la matusi na chuki dhidi ya mteule Muislamu wa Seneti saa chache baada ya ushindi wa awali

IQNA – Saa chache tu baada ya ushindi wa Abdul El-Sayed katika uchaguzi wa awali wa Seneti wa chama cha Democratic huko Michigan, matusi na chuki mtandaoni...
15 Aug 2026, 12:52
Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

Siku ya Wazi ya Msikiti nchini Australia inalenga kukuza majadiliano na maelewano ya Kijamii

IQNA – Msikiti wa Minto (Masjidur Rahman Al-Jami’ee) uliopo New South Wales, Australia, imeandaa hafla maalum ya “Siku ya Wazi” siku ya Jumamosi, Agosti...
15 Aug 2026, 12:43
Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

Mwislamu wa Burundi aliyesilimu ashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah

IQNA – Ilimchukua mwaka mmoja tu tangu kuifahamu dini ya Uislamu hadi kufika katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid al-Haram), akishiriki katika mashindano...
14 Aug 2026, 10:30
Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

Hamas yapongeza kauli ya Iran kuhusu umuhimu wa kusitisha vita katika eneo

IQNA – Harakati ya Muqawama wa Palestina ya Hamas imepongeza kauli ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohsen Rezaei, kuhusu umuhimu wa...
14 Aug 2026, 10:20
Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

Kiongozi wa Yemen: Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu ni dhihirisho wazi la uadui dhidi ya Uislamu

IQNA – Akilaani vitendo vya mara kwa mara vya kuidhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kama vitendo vya “Kizayuni na Kimarekani,” kiongozi wa...
14 Aug 2026, 10:15
Mafunzo ya ya Qur’ani kwa wasichana yaanza Karbala, Iraq

Mafunzo ya ya Qur’ani kwa wasichana yaanza Karbala, Iraq

IQNA – Mafunzo ya majira ya joto ya Qur’ani Tukufu kwa wasichana yameanza katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq.
14 Aug 2026, 10:08
Mafundisho ya Imam Ridha (AS) Yaliweka Misingi ya Ustaarabu

Mafundisho ya Imam Ridha (AS) Yaliweka Misingi ya Ustaarabu

IQNA – Urithi wa Imam Ridha (A.S.) ni kielelezo kikamilifu cha kuonesha ukuu wa urithi wa Ahlu-Bayt (AS) wa Mtume Muhammad  (SAW), amesema msomi wa Iraq.
13 Aug 2026, 14:45
Mtume Muhammad (SAW) daima alikuwa akijitahidi kuunganisha safu za watu

Mtume Muhammad (SAW) daima alikuwa akijitahidi kuunganisha safu za watu

IQNA – Msomi mmoja kutoka chuo kikuu cha Lebanon amesema kuwa maadili ya Kiislamu kuelekea wasio Waislamu yamejengwa juu ya msingi kwamba wanadamu ni ama...
12 Aug 2026, 16:43
Hafla za maombolezo katika Haram ya Najaf kuelekea Usiku wa 28 Safar

Hafla za maombolezo katika Haram ya Najaf kuelekea Usiku wa 28 Safar

IQNA-Haram takatifu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepokea zaidi ya vikundi 100 vya maombolezo na wajumbe mbalimbali katika usiku wa kuamkia tarehe...
12 Aug 2026, 16:31
Visa 231 vya Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani katika nusu ya kwanza ya Mwaka 2026

Visa 231 vya Chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani katika nusu ya kwanza ya Mwaka 2026

IQNA – Katikati ya hofu inayokua kuhusu wimbi la chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) nchini Ujerumani, mamlaka zimeandikisha visa 231 vya uhalifu dhidi...
12 Aug 2026, 16:23
Msomaji Kijana wa Qur'ani aangaza katika Mashindano ya ‘Dawlet El Telawa’ ya Misri

Msomaji Kijana wa Qur'ani aangaza katika Mashindano ya ‘Dawlet El Telawa’ ya Misri

IQNA – Siku ya pili ya mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Dawlet El Telawa nchini Misri ilishuhudia uwezo mkubwa na maonyesho ya kuvutia kutoka kwa washiriki...
12 Aug 2026, 16:16
Assma Ali avunja mwiko: Awa mwanamke wa kwanza Mwislamu kuwa jaji Mississippi, akabili wimbi la ubaguzi

Assma Ali avunja mwiko: Awa mwanamke wa kwanza Mwislamu kuwa jaji Mississippi, akabili wimbi la ubaguzi

IQNA – Katika kitovu cha eneo la Mississippi Delta, mwanamke Mwislamu amekalia kiti cha mahakama ya manispaa akiwa na jina la kihistoria na wimbi la barua...
11 Aug 2026, 15:48
Wanawake wa Bosnia wenye Mafanikio ya Kielimu na ya Kuhifadhi Qur’ani

Wanawake wa Bosnia wenye Mafanikio ya Kielimu na ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Kundi la wanawake vijana wa Kiislamu katika Kitivo cha Tiba cha Chuo Kikuu cha Sarajevo limekuwa ishara ya muunganiko kati ya utambulisho wa kidini...
11 Aug 2026, 15:35
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani yashinikizwa kulaani hatua ya Ufaransa kufunga msikiti kufuatia kisomo cha Qur’ani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani yashinikizwa kulaani hatua ya Ufaransa kufunga msikiti kufuatia kisomo cha Qur’ani

IQNA – Marekani inapaswa kulaani hatua ya Ufaransa ya kufunga msikiti mmoja nchini humo, hatua ambayo inaripotiwa kuchochewa na kisomo cha aya za Qur’ani...
11 Aug 2026, 15:18
Makumbusho ya Waislamu wa Kitatar kuzinduliwa nchini Poland

Makumbusho ya Waislamu wa Kitatar kuzinduliwa nchini Poland

IQNA – Makumbusho yaliyojitolea kuhifadhi historia na utamaduni wa Waislamu wa Kitatar yanatarajiwa kuzinduliwa nchini Poland.
11 Aug 2026, 15:07
Picha‎ - Filamu‎