IQNA

Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

IQNA – Chuo Kikuu cha Jamia Millia Islamia (JMI) mjini New Delhi, India, kilizindua rasmi kongamano kubwa la kimataifa la siku tatu siku ya Jumatano, likiwakusanya wasomi na wanazuoni kutoka pembe mbalimbali za dunia ili kuchambua kwa kina uhusiano hai kati ya mafundisho ya Qur’ani Tukufu na maendeleo ya sayansi ya kisasa.
13:58 , 2026 Jan 29
Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

Wasomi wa Kimataifa wakusanyika New Delhi kwa Kongamano la Kimataifa la Qur’ani na Sayansi

IQNA – Chuo Kikuu cha Jamia Millia Islamia (JMI) mjini New Delhi, India, kilizindua rasmi kongamano kubwa la kimataifa la siku tatu siku ya Jumatano, likiwakusanya wasomi na wanazuoni kutoka pembe mbalimbali za dunia ili kuchambua kwa kina uhusiano hai kati ya mafundisho ya Qur’ani Tukufu na maendeleo ya sayansi ya kisasa.
13:58 , 2026 Jan 29
Msiba Wafungua Njia Mpya: Baada ya Ajali Mbaya, Mwalimu wa Qur'ani ya Braille Aibuka

Msiba Wafungua Njia Mpya: Baada ya Ajali Mbaya, Mwalimu wa Qur'ani ya Braille Aibuka

IQNA – Mlipuko mkubwa wa fataki uliomkumba Eiman Najwan Anwar Fuad ulimnyang’anya uwezo wa kuona na kuharibu mikono yake akiwa na umri wa miaka 22.
13:28 , 2026 Jan 29
Nakala za Qur'ani za Nukta Nundu (Braille) zasambazwa katika Maonesho ya Vitabu ya Cairo

Nakala za Qur'ani za Nukta Nundu (Braille) zasambazwa katika Maonesho ya Vitabu ya Cairo

IQNA – Nakala za Qur'ani zilizoandikwa kwa mfumo wa nukta nundu (Braille) zinasambazwa kwa wageni wanaotembelea Maonesho ya 57 ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo mwaka 2026.
13:03 , 2026 Jan 29
Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

Dar al-Ifta ya Misri: Tafsiri ya Qur’ani kwa kutumia Akili Mnemba (AI) haijuzu

IQNA – Mamlaka ya Fatwa ya Misri (Dar al‑Ifta) imetangaza kwamba matumizi ya programu za akili mnemba (AI), ikiwemo ChatGPT, katika kufasiri Qur’ani Tukufu hayaruhusiwi kisheria.
11:11 , 2026 Jan 28
Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

Ongezeko kubwa la ujenzi wa Misikiti Kazakhstan

IQNA – Idadi ya misikiti mipya inayofunguliwa nchini Kazakhstan imekuwa ikiongezeka kwa kasi katika miaka ya karibuni, ishara ya mwamko wa Kiislamu unaoendelea kushika mizizi katika taifa hilo la Asia ya Kati.
11:01 , 2026 Jan 28
Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ayatullah Isa Qassim: Mamilioni wanamuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Kiongozi mkuu wa Kishia nchini Bahrain amesema katika hotuba kwamba mamilioni ya Wairani wanasimama kidete kulinda uhuru na usalama wa nchi yao kupitia kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
10:54 , 2026 Jan 28
Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

Maadui walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni, maadui, yaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, walilenga kuigeuza Iran kuwa Syria au Libya nyingine,"
08:55 , 2026 Jan 28
Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

Wang Yi: China iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu kulinda haki

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amefanya mazungumzo na Hissein Brahim Taha, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), mjini Beijing siku ya Jumatatu.
14:41 , 2026 Jan 27
Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

Mwanaharakati wa Iran atoa wito wa kuundwa Jumuiya ya Kimataifa ya Maqari wa Qur’ani

IQNA – Akilaani matukio ya hivi karibuni ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu, mwanaharakati wa Qur’ani kutoka Iran ametoa wito wa kuundwa kwa Jumuiya ya Kimataifa wa Maqari wa Qur’ani ambayo miongoni mwa majukumu yake ni kufuatilia hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.
14:15 , 2026 Jan 27
Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yafanyika Hajjah, Yemen

IQNA-Mashindano ya Qur’ani kwa wasichana yamefanyika katika mkoa wa Hajjah nchini Yemen, yakionyesha juhudi za kuimarisha elimu ya Qur’ani miongoni mwa wanafunzi wa kike.
14:00 , 2026 Jan 27
Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

Lebanon Kuandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al‑Sadiq Al‑Amin’

IQNA-Lebanon inajiandaa kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayojulikana kama “Al‑Sadiq Al‑Amin,” yatakayofanyika Beirut katika siku za kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani.
13:50 , 2026 Jan 27
Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

Hizbullah yasema haitakaa kimya mbele ya uchokozi wowote dhidi ya Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa: "Imam Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Faqihi Mtawala wetu na sisi hatutabaki kuwa watazamaji mbele ya uchokozi wowote utakaofanywa dhidi ya Iran".
11:53 , 2026 Jan 27
Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

Harakati ya Kiislamu Iraq yasisitiza utayari wa kuiunga mkono Iran vitani

IQNA-Harakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq (Brigedi za Hizbullah) imetangaza kuwa iko tayari kushiriki katika vita vyovyote vitakavyotokea ili kuilinda Iran, ikitoa wito kwa wanamapambano duniani kote kujiandaa kwa ajili ya hilo.
16:38 , 2026 Jan 26
Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

Waziri wa Awqaf Algeria awakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya Qur'ani ya kihistoria

IQNA – Waziri wa Mambo ya Dini na Awqaf wa Algeria amewakabidhi wanazuoni wa Afrika nakala ya kihistoria ya Qur'ani Tukufu ijulikanayo kama “Rhodosi”, wakati wa kongamano lililofanyika nchini humo kuhusu diplomasia ya kidini.
16:30 , 2026 Jan 26
1