IQNA

Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

Kiongozi wa Mapinduzi: Mzozo wa Iran na Marekani ni wa dhati

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa mzozo uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani ni wa “dhati na wa kweli”, na wala hautokani na kauli mbiu; bali unatokana na mgongano wa kimsingi wa maslahi.
07:06 , 2025 Nov 04
Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

Mtaalamu wa Vyombo vya Habari: Dira ya Kiislamu Inahitaji Ufikishaji wa Kisasa

IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu na maisha, lakini ujumbe wake bado haujawakilishwa ipasavyo kimataifa kutokana na ukosefu wa mijadala ya kielimu na nyenzo za mawasiliano za kisasa.
17:33 , 2025 Nov 03
Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

Waislamu Wapanda Miti 10,000 Jijini Nairobi Kuonesha Mshikamano na Palestina

IQNA – Katika hatua ya mshikamano wa kimazingira na kisiasa, Waislamu wa Kenya walipanda takribani miti 10,000 katika Bustani ya Uhuru jijini Nairobi kwa heshima ya watu wa Palestina wanaokumbwa na dhulma.
17:27 , 2025 Nov 03
Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
17:07 , 2025 Nov 03
Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki, hali ambayo chanzo chake ni kupuuzwa kwa maadili ya kidini na kiutu.
17:04 , 2025 Nov 03
Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
17:00 , 2025 Nov 03
Wasichana Kutoka Ulimwengu wa Kiislamu Waadhimisha Hafla ya Kuanza Ibada Katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Wasichana Kutoka Ulimwengu wa Kiislamu Waadhimisha Hafla ya Kuanza Ibada Katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Hafla ya kipekee ya kuashiria kuanza rasmi kutekeleza wajaibu wa ibada kwa wasichana arobaini kutoka mataifa mbalimbali iliandaliwa Jumatatu, Oktoba 27, 2025, katika ukumbi wa Dar al-Rahmah uliopo ndani ya Haram Tukufu ya Imam Ridha mjini Mashhad. Tukio hilo liliambatana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Bibi Zaynab (SA), mfano wa ushujaa, hekima na ucha Mungu kwa wanawake wa Kiislamu.
17:21 , 2025 Nov 02
Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Semina Kuhusu Dhana ya ‘Muda’ Katika Qur’ani

Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Semina Kuhusu Dhana ya ‘Muda’ Katika Qur’ani

IQNA – Chuo Kikuu cha Gujrat, Kampasi ya Hafiz Hayat, nchini Pakistan kimeandaa semina maalum yenye kichwa cha habari “Dhana ya Muda kwa Mujibu wa Qur’ani Tukufu,” ikiwaleta pamoja wanafunzi kwa ajili ya maarifa ya kiakili na kiroho.
17:08 , 2025 Nov 02
Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Usiku wa Qur’ani kwa Mwaka Mwingine

Chuo cha Kiislamu Sarajevo Chaandaa Usiku wa Qur’ani kwa Mwaka Mwingine

IQNA – Chuo cha Masomo ya Kiislamu cha Sarajevo kimeandaa tukio lake la kila mwaka la “Usiku na Qur’ani,” likiwakutanisha wanafunzi na wahifadhi wa Qur’ani kwa jioni ya usomaji, tafakuri na kuthamini Kitabu cha Mwenyezi Mungu.
17:01 , 2025 Nov 02
Qari wa Misri atoa wito wa Umoja Miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu

Qari wa Misri atoa wito wa Umoja Miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Qari maarufu wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, ametoa wito wa kuepuka mifarakano miongoni mwa wahudumu wa Qur’ani Tukufu kufuatia mjadala ulioibuka kuhusu usomaji wa Qari mwenzake, Ahmed Ahmed Nuaina.
16:45 , 2025 Nov 02
Kujenga Mfano Hai wa Qur’ani: Msingi wa Jamii Inayoongozwa na Qur’ani – Mtaalamu wa Kiislamu

Kujenga Mfano Hai wa Qur’ani: Msingi wa Jamii Inayoongozwa na Qur’ani – Mtaalamu wa Kiislamu

IQNA – Lengo la elimu ya Qur’ani linapaswa kwenda mbali zaidi ya kuhifadhi, kuelekea kuunda “watu wa mfano wa Qur’ani hai” wanaoathiri jamii kupitia mwenendo wao, asema Hujjatul-Islam Seyyed Mohammad-Mehdi Tabatabaei kutoka Iran.
15:09 , 2025 Nov 02
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Misri Yaanza Hatua ya Awali kwa Washiriki wa Kimataifa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Misri Yaanza Hatua ya Awali kwa Washiriki wa Kimataifa

IQNA – Mitihani ya awali imeanza rasmi kwa washiriki wa kimataifa wanaojiandaa kushiriki katika Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani, yanayoandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri, yaliyopangwa kufanyika mwezi Disemba 2025.
14:47 , 2025 Nov 02
Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii

Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii

IQNA – Msingi wa jamii ni ushirikiano, kushirikiana, na kubadilishana manufaa. Kwa hivyo, mtazamo wa kielimu wa Kiislamu umechukulia ushirikiano kuwa miongoni mwa mahitaji ya fikra za kimaadili.
19:59 , 2025 Nov 01
Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu duniani kote, amefariki dunia mjini Cairo siku ya Ijumaa, tarehe 31 Oktoba 2025.
19:23 , 2025 Nov 01
Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

IQNA – Kuzungumzia suala la “ Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama” si chochote ila ni ndoto ya kufikirika, kwani maana yake ni kuwavua watu utashi wao na utambulisho wao, amesema mchambuzi wa kisiasa wa Kipalestina.
19:19 , 2025 Nov 01
1