iqna

IQNA

kenyatta
Katika mazishi ya aliyekuwa rais wa Tanzania, Magufuli
TEHRAN (IQNA) - Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amewavutia wengi baada ya kusimaisha hotuba yake kwa zaidi ya dakika moja kupisha wito wa swala (adhana) ya adhuhuri wakati akihutubu leo katika shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli mjini Dodoma.
Habari ID: 3473754    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/22

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemtunuku nishani ya juu Salah Farah marehemu mwalimu Mwislamu aliyepigwa risasi akiwakinga Wakristo wasiuawe na magaidi wa Al Shabab.
Habari ID: 3470225    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/02