iqna

IQNA

umrah
Umrah 1445
IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa Gaza katika dua wakiwa aktika ardhi takatifu.
Habari ID: 3478718    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Laylatul Qadr
IQNA-Katika mkusanyiko wa kihistoria, Waislamu milioni 2.5 walikusanyika na kusali katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, Saudi Arabia, siku ya Ijumaa kuhusiha mojawapo ya usiku mtukufu zaidi wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3478638    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06

Umrah na Ramadhani
IQNA - Katika nusu ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, karibu Waislamu milioni 15 walikwenda kwenye Msikiti wa Mtume SAW yaani Al-Masjid an-Nabawi huko Madina, eneo la pili takatifu katika Uislamu, kulingana na afisa wa Saudia.
Habari ID: 3478601    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Umrah
IQNA - Wakaazi wa mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia wamehimizwa kutoa kipaumbele kwa Mahujaji wa kigeni katika Masjid al-Haram au Msikiti Mkuu.
Habari ID: 3478555    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Al-Masjid an-Nabawi
IQNA – Msikiti wa Mtume (SAW) Al-Masjid an-Nabawi katika mji wa Madina nchini Saudia ulishuhudia Waislamu wengi wakitiririka katika siku za kwanza za mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zaidi ya waumini milioni 5.2, wakiwemo wanaoshiriki Hija ndogo ya Umrah wakiingia katika msikiti huo kwa ajili ya Sala za kila siku.
Habari ID: 3478532    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Umrah
IQNA - Matayarisho yote yamefanywa ili kuhakikisha mchakato mzuri na uliorahisishwa wa taratibu za kuwasili na kuondoka kwa wanaofika Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umrah wakati wa Mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3478501    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

Hija na Umrah
IQNA - Msikiti Mkuu wa Makkah yaani Masjid al-Haram na Msikiti wa Mtume SAW, yaani Al Masjid An Nabawi huko Madina sasa ina idhini ya kuwa mwenyeji wa kufungisha ndoa au Nikah, kulingana na ripoti.
Habari ID: 3478266    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

Umrah
IQNA - Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi Arabia imetangaza kuwa kila mwenye kushiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra anaruhusiwa kutembelea Al-Rawdah Al-Sharifa katika mji mtakatifu wa Madina mara moja tu kwa mwaka.
Habari ID: 3478085    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Umrah 1445
IQNA - Wairani wataanza kuelekea Saudi Arabia kwa ajili ya Umrah (Hija ndogo) katika kipindi cha wiki mbili zijazo.
Habari ID: 3478055    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Umra 1445
MAKKA (IQNA) - Waislamu milioni 10 kutoka nje ya Saudi Arabia wanatarajiwa kushiriki katika Hija ndogo ijulikanayo kama Umrah, makadirio yanaonyesha.
Habari ID: 3477256    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/09

Makka na Madina
TEHRAN (IQNA) - Mnamo usiku wa 27 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaoaminika kuwa Usiku wa Qadr, mamilioni ya waumini walijaa Msikiti Mkuu ya Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3476885    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya waumini milioni 22 walitembelea eneo takatifu zaidi katika Uislamu, Msikiti Mkuu Makka (Masjid al-Haram) katika siku 20 za kwanza za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3476866    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14

Umrah
TEHRAN (IQNA) - Katika siku 10 za mwanzo za mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani zaidi ya nakala 30,000 za Qur'ani zilisambazwa miongoni mwa Waislamu wanaoshiriki kaktika Hija Ndogo ya Umrah na wageni wa Msikiti Mkuu wa Makka, Al Masjid Al Haram a, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi,.
Habari ID: 3476817    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Ajali
TEHRAN (IQNA) – Takriban waumini 20 waliokuwa katika hija ndogo ya Umrah wamepoteza Maisha na wengine 29 kujeruhiwa wakati basi lililokuwa limewabeba lilipopinduka na kuwaka moto katika eneo la Aqaba Shaar kusini mwa mkoa wa Asir, Saudi Arabia Jumatatu alasiri.
Habari ID: 3476774    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa Saudi Arabia wanasema zaidi ya lita milioni 40 za maji ya Zamzam zitasambazwa katika Msikiti Mkuu wa Makka (Masjid al-Haram) miongoni mwa Mahujaji katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476720    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Programu ya Nusuk iko wazi kutoa vibali vya Hija ndogo ya Umrah wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, Saudi Arabia inasema.
Habari ID: 3476688    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)-Mpango mkubwa wa kuwahudumia waumini wapatao milioni 3 katika maeneo matakatifu zaidi ya Kiislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani unaokuja ulizinduliwa nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476656    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04

Waislamu Singapore
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu kutoka Singapore wanaofanya ibada ya Hija ndogo ya Umrah imeongezeka kwa asilimia 45 ikilinganishwa na enzi ya kabla ya janga la corona.
Habari ID: 3476647    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umrah ya Saudi iliweka jumla ya mahujaji wa kigeni wanaofanya Hija ndogo ya Umra tangu mwanzo wa huu wa Kiislamu ni milioni 4.8.
Habari ID: 3476571    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/16

Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03