iqna

IQNA

saied
TEHRAN (IQNA)- Rais Kais Saied wa Tunisia amemetua Najla Bouden Romdhane, kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo, baada ya kupita takribani miezi miwili tangu alipohodhi madaraka yote ya nchi, hatua iliyoelezwa na wapinzani wake kama mapinduzi ya kijeshi.
Habari ID: 3474359    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Tunisia Kais Saied amesema nchi yake haitastahamili uingiliaji wowote wa kigeni huku akiwa chuni ya mashinikizo kutoka kwa madola ya magharibi kufungua tena bunge la nchi hiyo.
Habari ID: 3474283    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia anashikiliwa kifungo cha nyumbani kutokana na kile ambacho kimetajwa ni kutumia vibaya madaraka.
Habari ID: 3474167    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/07