iqna

IQNA

gilboa
TEHRAN (IQNA)- Wafungwa Wapalestina wakiwa katika mahakama moja ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Nazareth wamempongeza Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3474657    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08