IQNA

Kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi kwa wanafunzi wa Iraq kuanza Mei 25

Kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi kwa wanafunzi wa Iraq kuanza Mei 25

IQNA – Kituo cha Kitaifa cha Sayansi za Qur'ani, kilicho chini ya Idara ya Waqfu wa Kishia ya Iraq, kinapanga kuandaa kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi kwa wanafunzi wa shule.
14:56 , 2025 May 11
Mfaransa ashtakiwa kwa kumdunga kisu na kumuua Mwislamu ndani ya msikiti

Mfaransa ashtakiwa kwa kumdunga kisu na kumuua Mwislamu ndani ya msikiti

IQNA-Mwanaume mmoja wa Kifaransa aliyemdunga kisu na kumuua Mwislamu aliyekuwa akisali katika msikiti ulioko kusini mwa Ufaransa, ameshtakiwa rasmi kwa mauaji ya kukusudia yanayochochewa na chuki ya kidini au kikabila, ofisi ya mwendesha mashtaka wa Nîmes ilitangaza Ijumaa.
13:53 , 2025 May 11
Kiongozi Muadhamu: Fikra za umma hazipaswi kuondolewa kwenye suala la Palestina

Kiongozi Muadhamu: Fikra za umma hazipaswi kuondolewa kwenye suala la Palestina

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameutaka Ulimwengu wa Kiislamu kutoruhusu suala la Palestina lisahaulike akisisitiza ulazima wa kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
16:20 , 2025 May 10
Waislamu Texas Marekani wakosoa pingamizi kuhusu mradi mtaa

Waislamu Texas Marekani wakosoa pingamizi kuhusu mradi mtaa

IQNA – Waislamu wanaosimamia mradi wa ujenzi wa mtaa wao mpya huko Texas, Marekani wamesema uchunguzi wa serikali na shirikisho una dosari.
16:10 , 2025 May 10
Italia yamrudisha Ufaransha mtuhumiwa wa mauaji ndani ya Msikiti

Italia yamrudisha Ufaransha mtuhumiwa wa mauaji ndani ya Msikiti

IQNA – Italia imemrudisha Ufaransa mtuhumiwa katika kesi ya mauaji ya kijana Mwislamu katika msikiti wa Ufaransa.
15:56 , 2025 May 10
Msomi: Taathira ya Hija kwa Umoja wa Waislamu si ya muda mfupi

Msomi: Taathira ya Hija kwa Umoja wa Waislamu si ya muda mfupi

IQNA – Taathira chanya ya Hija katika kuimarisha umoja wa Waislamu sio ya eneo maalum wala ya muda mfupi, amesema mtaalamu na mchunguzi.
15:49 , 2025 May 10
Mwanazuoni Mwandamizi: Qur'ani na Ahl al-Bayt Ni Nguzo za Umoja wa Waislamu

Mwanazuoni Mwandamizi: Qur'ani na Ahl al-Bayt Ni Nguzo za Umoja wa Waislamu

IQNA – Mwanazuoni Mwandamizi wa Kiislamu kutoka Iran Ayatullah Abdollah Javadi Amoli amesema Qur'ani na Ahl al-Bayt bado ni nguzo kuu za umoja kati ya Waislamu.
15:25 , 2025 May 10
Mkutano wa Fiqhi wamalizika Qatar, ukitoa Fatwa kuhusu Akili Mnemba, Michezo ya Kidijitali, Afya ya Akili na Haki za Watoto

Mkutano wa Fiqhi wamalizika Qatar, ukitoa Fatwa kuhusu Akili Mnemba, Michezo ya Kidijitali, Afya ya Akili na Haki za Watoto

IQNA – Kikao cha 26 cha Chuo cha Kimataifa cha Fiqhi ya Kiislamu (IIFA) kimehitimishwa jijini Doha baada ya siku tano za mijadala, kikitoa mapendekezo muhimu kuhusu akili mnemba (AI), michezo ya kidijitali, afya ya akili, na ustawi wa watoto.
21:26 , 2025 May 09
UN Yamteua Miguel Moratinos Kuwa Mjumbe Maalum wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

UN Yamteua Miguel Moratinos Kuwa Mjumbe Maalum wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Umoja wa Mataifa umetangaza kumteua mwanadiplomasia mkongwe wa Hispania, Miguel Angel Moratinos Cuyaubé, kuwa mjumbe maalum atakayeongoza juhudi za kushughulikia chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), ofisi ya msemaji wa UN ilitangaza Jumatano.
21:08 , 2025 May 09
Mijumuiko ya kote Ufaransa kulaani chuki dhidi ya Uislamu

Mijumuiko ya kote Ufaransa kulaani chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Muungano mpana wa makundi ya kisiasa, mashirika ya kiraia, wasomi, watafiti, waandishi na watu mashuhuri umetangaza maandamano ya kimya yatakayofanyika kote Ufaransa Jumapili, Mei 11, kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
21:03 , 2025 May 09
Kiongozi wa Ansarullah akosoa ukimya wa Umma wa Kiislamu kuhusu mauaji ya kimbari Gaza

Kiongozi wa Ansarullah akosoa ukimya wa Umma wa Kiislamu kuhusu mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Sayyid Abdul-Malik Badr al-Din al-Houthi, Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameeleza kuwa, jamii za Kiarabu na Umma wa Kiislamu zinabeba dhima ya msingi kuhusu mauaji ya kimbari yanayoendelea kutekelezwa na utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza akisisitiza matokeo mabaya ya kutochukua kwao hatua.
20:19 , 2025 May 09
Leo XIV ateuliwa kumrithi Papa Francis kama kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani

Leo XIV ateuliwa kumrithi Papa Francis kama kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani

IQNA-Kardinali Robert Prevost ametangazwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki. Yeye ndiye Papa wa kwanza kutoka Marekani na kuchukua jina la papa Leo XIV.
20:15 , 2025 May 09
Haram ya Imam Ridha (AS) katika usiku wa kumbukumbu ya kuzaliwa Kwake

Haram ya Imam Ridha (AS) katika usiku wa kumbukumbu ya kuzaliwa Kwake

IQNA – Mamia ya maelfu ya wafanyaziyara walikusanyika katika Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran mnamo Mei 8, 2025, kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imamu huyo wa nane wa Waislamu wa madhehebu ya ya Sshia.
20:02 , 2025 May 09
Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
10:57 , 2025 May 08
Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj  akisoma aya ya Surah Maryam Surah

Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj akisoma aya ya Surah Maryam Surah

IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya 12 ya Surah Maryam ikisomwa na qarii wa Misri Sheikh Abdulaziz Ali Faraj.
10:32 , 2025 May 08
14