IQNA

Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Qari Muirani akisoma Qur'ani katika mji wa Hillah, Iraq + Video

Sayyid Muhammad Husaynipour, aliyeshinda nafasi ya kwanza katika mashindano ya 41 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alishiriki katika msafara wa Qur’āni wa Arbaeen mjini Hillah, Iraq. Hii hapa klipu yake akisoma Qur'ani Tukufu
16:43 , 2025 Aug 21
Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki kwa Mtume Muhammad (SAW) itakayoadhimishwa Ijumaa, tarehe 28 Safar.
17:13 , 2025 Aug 20
Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

IQNA – Magaidi walifyatua risasi ndani ya msikiti katika eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria wakati wa Swala ya Alfajiri siku ya Jumanne, na kuua angalau watu 27, maafisa wa eneo hilo na wakazi wamesema.
17:06 , 2025 Aug 20
Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

IQNA – Wosia wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kuhusu Ahlul-Bayt (AS), Qur’an Tukufu, na ulazima wa kulinda umoja wa Waislamu unaonyesha dira yake ya kujenga jamii yenye mshikamano na haki, amesema msomi mmoja.
17:01 , 2025 Aug 20
Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

IQNA – Zaidi ya watoto 3,000 wamekusanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad kwa ajili ya kongamano la Qur’ani lililopewa jina “Malaika wa Muqawama (Upinzani)”, na kujaza eneo hilo tukufu kwa tilawa na sauti za imani.
16:49 , 2025 Aug 20
Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

IQNA – Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yanatarajiwa kufikia tamati kwa hafla maalum itakayofanyika mjini Makkah siku ya Jumatano.
16:41 , 2025 Aug 20
Maqari wa Kiirani wasoma Qur’ani Tukufu katika Mawkib jijini Karbala

Maqari wa Kiirani wasoma Qur’ani Tukufu katika Mawkib jijini Karbala

QNA – Msafara wa Qur’ani wa Arbaeen kutoka Iran, unaojulikana mwaka huu kama “Msafara wa Imam Ridha (AS)”, ulianza shughuli zake katika njia ya Arbaeen tarehe 8 Agosti 2025.
14:09 , 2025 Aug 20
Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa Madina, kama sehemu ya programu ya kitamaduni iliyoandaliwa na mamlaka za Saudi Arabia.
15:57 , 2025 Aug 19
Mwanamke wa Karnataka aandika nakala nzima ya Qur’ani Tukufu kwa mkono

Mwanamke wa Karnataka aandika nakala nzima ya Qur’ani Tukufu kwa mkono

IQNA – Fathima Sajla Ismail kutoka jimbo la Karnataka, India, amekamilisha kuandika Qur’ani Tukufu yote kwa mkono akitumia kalamu ya jadi ya kuzamisha kwenye wino (dip pen).
15:42 , 2025 Aug 19
Mkutano wa Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) Kashmir wajadili msaada kwa wenye ulemavu wa macho

Mkutano wa Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) Kashmir wajadili msaada kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Jumapili, mji wa Banihal katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India uliandaa Mkutano wa Pili wa Qur’ani ya Braille kwa watu wenye ulemavu wa kuona.
15:23 , 2025 Aug 19
Gavana wa Misri asema marehemu Qari Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani

Gavana wa Misri asema marehemu Qari Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea kubaki kuwa fahari ya Misri.
15:11 , 2025 Aug 19
Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

IQNA – Mchujo wa awali wa usomaji kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu umekamilika, ambapo kazi kutoka nchi 36 zimepitiwa.
14:38 , 2025 Aug 19
Misikiti duniani yahimizwa kuungana kulinda Al-Aqsa katika Siku ya  Kimataifa ya Msikiti

Misikiti duniani yahimizwa kuungana kulinda Al-Aqsa katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Kiirani amehimiza ushirikiano imara kati ya misikiti duniani, akisisitiza haja ya hatua za pamoja kulinda Msikiti wa Al-Aqsa dhidi ya uvamizi unaendelea wa utawala ghasibu wa Israel.
23:19 , 2025 Aug 18
Mtume Muhammad (SAW): Kielelezo kamili cha maadili na umoja asema mtafiti

Mtume Muhammad (SAW): Kielelezo kamili cha maadili na umoja asema mtafiti

IQNA – Mwanazuoni wa dini kutoka Qom amemwelezea Mtume Muhammad (SAW) kuwa ndiye kielelezo bora kabisa kwa wanadamu, akisisitiza kuwa tabia yake njema ni mwongozo wa kudumu kwa Waislamu wa leo.
22:57 , 2025 Aug 18
Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Awamu ya Awali ya Yaendelea

Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu: Awamu ya Awali ya Yaendelea

IQNA – Awamu ya awali ya kategoria ya usomaji katika Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamuyaliyoandaliwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza rasmi, huku washiriki kutoka mataifa 36 wakituma video za usomaji kwa ajili ya tathmini.
22:46 , 2025 Aug 18
2