IQNA

Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

Misri yazindua Jumba la Maqari wa Qur’ani Tukufu

IQNA – Jumba la kwanza kabisa la Maqari wa Qur’ani limefunguliwa katika Kituo cha Utamaduni na Uislamu cha Misri kilichopo katika Mji Mkuu Mpya wa Utawala karibu na Cairo.
17:00 , 2025 Dec 17
Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

Uwanja wa Bibi Fatima Zahra (SA) katika Haram ya Imam Ali (AS) wazinduliwa

IQNA – Baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Hazrat Zahra (SA) katika haram ya Imam Ali (AS), uwanja huo unazinduliwa leo.
16:55 , 2025 Dec 17
Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

Athari za Istighfar Katika Maisha ya Dunia na Akhera

IQNA – Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) ni jambo lililo na athari nyingi katika maisha ya mwanadamu; katika dunia hii na katika Akhera.
16:04 , 2025 Dec 16
Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha  tukio la Sydney

Wachambuzi wamtuhumu Netanyahu kwa kupotosha tukio la Sydney

IQNA – Shambulio la kigaidi Sydney lililosababisha vifo na majeruhi limezua mijadala mikubwa ya kisiasa na kimtandao, ikiwemo hoja kuhusu namna tukio hili lilivyoinufaisha Israel kisiasa.
15:53 , 2025 Dec 16
Msikiti wa Bucharest: Urithi wa uvumilivu na maisha ya pamoja

Msikiti wa Bucharest: Urithi wa uvumilivu na maisha ya pamoja

IQNA – Msikiti wa Hunkar uliopo Bucharest, mji mkuu wa Romania, unasimama kama alama ya jadi ya nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Ulaya katika kuenzi uvumilivu wa kidini na maisha ya pamoja kwa amani.
15:38 , 2025 Dec 16
Mjumuiko kijijini Misri kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani

Mjumuiko kijijini Misri kuwatunuku wahifadhi wa Qur’ani

IQNA – Shule ya kuhifadhi Qur’ani ya “Ibad al-Rahman” iliyopo kijiji cha Atu, karibu na mji wa Bani Mazar katika mkoa wa Minya kaskazini mwa Misri, iliandaa mjumuiko maalumu kwa ajili ya kuwasherehekea wahifadhi wa Qur’ani wa kijiji hicho.
15:30 , 2025 Dec 16
Hafidh wa Qur’ani kutoka Hamedan kuwakilisha Iran Mashindano ya Bangladesh

Hafidh wa Qur’ani kutoka Hamedan kuwakilisha Iran Mashindano ya Bangladesh

IQNA – Mehdi Barandeh, mmoja wa wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani nchini Bangladesh, anatarajiwa kuondoka kuelekea nchi hiyo ya Asia Kusini mwishoni mwa wiki hii.
15:17 , 2025 Dec 16
Makumbusho ya Sanaa ya Iran: Jumba la Marmar la Tehran kwa Picha

Makumbusho ya Sanaa ya Iran: Jumba la Marmar la Tehran kwa Picha

IQNA – Jumba la Marmar ni miongoni mwa majengo ya kihistoria yenye haiba na utukufu mkubwa jijini Tehran, likisimama kama ushahidi wa ustaarabu na usanifu wa kifalme wa karne zilizopita.
14:27 , 2025 Dec 16
Wanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Georgia Wafanya Ziara ya Umoja katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Wanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Georgia Wafanya Ziara ya Umoja katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wanazuoni wa Kiislamu kutoka Georgia umezuru Haram ya Imam Ridha (AS) jini Mashhad, Iran, ambapo wamekutana na maafisa wa Astan Quds Razavi (AQR), taasisi inayosimamia haram hiyo tukufu.
20:49 , 2025 Dec 15
Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Iran: Raundi ya Awali Yaendelea

Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Iran: Raundi ya Awali Yaendelea

IQNA – Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yanaendelea katika raundi ya awali, ambayo mwaka huu yanafanyika kwa njia ya mtandaoni.
20:42 , 2025 Dec 15
Msimu wa Pili wa Mashindano ya Qur’ani kwa Vijana Bangladesh Wapangwa kwa Mwezi wa Ramadhani

Msimu wa Pili wa Mashindano ya Qur’ani kwa Vijana Bangladesh Wapangwa kwa Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Kampuni ya TK Group, mojawapo ya makampuni makubwa nchini Bangladesh, imetangaza mipango ya kuandaa msimu wa pili wa mashindano ya usomaji wa Qur’ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
20:38 , 2025 Dec 15
Watoto wa mashahidi wa Gaza waheshimiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Watoto wa mashahidi wa Gaza waheshimiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Watoto arobaini na wanne wa mashahidi ambao wamehifadhi Qur’ani Tukufu wameheshimiwa katika hafla maalumu huko Gaza.
20:35 , 2025 Dec 15
Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa afariki dunia

Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa afariki dunia

IQNA – Qari na Muadhini wa Msikiti wa Al‑Aqsa katika al‑Quds (Jerusalem) ameaga dunia baada ya maisha marefu ya ibada katika Qibla cha kwanza cha Waislamu.
19:18 , 2025 Dec 14
Makundi ya haki za binadamu, wakazi walaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Texas

Makundi ya haki za binadamu, wakazi walaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur’ani Texas

IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa wananchi na mashirika ya haki za binadamu.
19:14 , 2025 Dec 14
I.M.A.M.: Muhtasari wa Taasisi ya Waislamu wa Kishia Amerika Kaskazini

I.M.A.M.: Muhtasari wa Taasisi ya Waislamu wa Kishia Amerika Kaskazini

IQNA – Katika jiji la Dearborn, Michigan, kuna taasisi ya Kishia iliyodumu kwa miaka mingi, ikifanya kazi kimya kimya bila makuu, lakini ikiwa na athari kubwa katika jamii.
19:10 , 2025 Dec 14
2