IQNA

Wito wa kushtakiwa walioshambulia Ofisi ya Ayatullah Sistani nchini Syria

Wito wa kushtakiwa walioshambulia Ofisi ya Ayatullah Sistani nchini Syria

IQNA – Khatibu wa Swala ya Ijumaa jijini Baghdad amesisitiza umuhimu wa kuwachukulia hatua kali waliotekeleza shambulizi dhidi ya ofisi ya Ayatullah Ali Sistani mjini Damascus, mji mkuu wa Syria.
16:25 , 2025 Jun 07
Usomaji wa Aya za Qur'ani wa wanachama wa Msafara Nur katika Mlima Arafat

Usomaji wa Aya za Qur'ani wa wanachama wa Msafara Nur katika Mlima Arafat

IQNA – Wanachama wa Msafara wa Nur wa Wasomaji Qur'ani Tukufu na Waimbaji Qasida kutoka Iran, ambao kwa sasa wako katika ardhi takatifu kama sehemu ya Msafara wa Qur’ani wa Nur, walitoa maonyesho mawili maalum katika usiku wa Arafah huko Mlima Arafat (Jabal al-Rahmah). Walisoma kwa pamoja aya takatifu kutoka Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa pamoja na kisha wakaimba Tawashih – wimbo wa kitamaduni wa Kiislamu unaohuisha imani.
15:45 , 2025 Jun 07
Watu wa Gaza waswali Swala ya Idul Adha juu ya magofu ya misikiti

Watu wa Gaza waswali Swala ya Idul Adha juu ya magofu ya misikiti

IQNA – Wapalestina kote Ukanda wa Gaza wameswali Swala ya Idul Adha juu ya magofu ya misikiti iliyoharibiwa na vita vya kinyama vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo.
10:38 , 2025 Jun 07
Siku ya Kwanza ya Hija

Siku ya Kwanza ya Hija

Zaidi ya mahujaji milioni 1.5 wameanza ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makkah. Picha zifuatazo za siku ya kwanza ya Hija ya mwaka 1446 Hijria Qamaria (2025) zinaonyesha taswira safi za ibada yenye unyenyekevu na shauku ya kuungana na Mola Mlezi.
16:41 , 2025 Jun 06
Khatibu wa Sala ya Idi Tehran: Idul Adha ni Sikukuu ya Umoja, Ibada na Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu

Khatibu wa Sala ya Idi Tehran: Idul Adha ni Sikukuu ya Umoja, Ibada na Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu

IQNA – Akiwatakia heri ya Idul Adha Waislamu kote duniani, Khatibu wa Swala ya Idi iliyosaliwa leo Tehran ameielezea Idihii tukufu kuwa ni sikukuu ya umoja wa Ummah wa Kiislamu, na maadhimisho ya ibada na kujisalimisha kwa Mola.
16:19 , 2025 Jun 06
Idul al-Adha: Kumbukumbu ya Utiifu na Kujitolea kwa Mwenyezi Mungu

Idul al-Adha: Kumbukumbu ya Utiifu na Kujitolea kwa Mwenyezi Mungu

IQNA – Idul al-Adha ni miongoni mwa sikukuu tukufu zaidi katika kalenda ya Kiislamu, yenye mizizi katika tukio la kiroho lenye uzito mkubwa lililotajwa ndani ya Qur’ani Tukufu.
16:07 , 2025 Jun 06

"Katika Kutafuta Qiraa Nzuri Zaidi”: Kauli Mbiu ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai 2026

IQNA – Toleo la mwaka 2026 la Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai litaandaliwa chini ya dira mpya iliyopewa kauli mbiu: "Katika Kutafuta Qiraa Nzuri Zaidi ya Qur’ani Tukufu."
15:54 , 2025 Jun 06
Hakuna njia nyingine ya kuokoa ubinadamu isipokuwa kurejea katika mafundisho ya Qur'ani

Hakuna njia nyingine ya kuokoa ubinadamu isipokuwa kurejea katika mafundisho ya Qur'ani

IQNA – Afisa mmoja wa Kiirani amesema kuwa hakuna njia nyingine ya kuokoa ubinadamu ila kwa kufuata mwongozo wa Qur'ani Tukufu.
15:47 , 2025 Jun 06
Iran yazindua hospitali za muda Mina na Arafat kuwahudumia Mahujaji

Iran yazindua hospitali za muda Mina na Arafat kuwahudumia Mahujaji

IQNA – Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Iran (IRCS), Daktari Pir Hossein Koulivand, ametangaza kuwa shirika hilo limefungua hospitali za muda katika maeneo ya Arafat na Mina, karibu na Makkah, kwa ajili ya kuwahudumia Mahujaji.
15:39 , 2025 Jun 06
Kaaba—Mahali pa Kwanza pa Ibada Salama

Kaaba—Mahali pa Kwanza pa Ibada Salama

IQNA-Katika maneno matukufu ya Qur’ani, Mwenyezi Mungu anaitambulisha Kaaba kama nyumba ya kwanza iliyoanzishwa kwa ajili ya ibada ya Mola Mmoja wa kweli. Katika Surah Aal Imran, aya za 96-97, utukufu na umuhimu wa nyumba hii takatifu vinaelezwa wazi:
17:25 , 2025 Jun 05
Kiongozi Muadhamu: Hijja inayoambatana na maarifa ni tiba ya maumivu ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu.

Kiongozi Muadhamu: Hijja inayoambatana na maarifa ni tiba ya maumivu ya leo ya ulimwengu wa Kiislamu.

IQNA-Katika ujumbe wake kwa Mahujaji wa Beitul Haram katika mji mtakatifu wa Makka, Ayatullah Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Serikali za Kiislamu zinapaswa kufunga njia zote za kuusaidia utawala wa Kizayuni, na kwamba wananchi nao wanapasa kuziwajibisha serikali zao katika kufikia lengo hilo.
17:06 , 2025 Jun 05
Nyumba ya Kihistoria ya Tabatabaei Katika Mji wa Kashan, Iran

Nyumba ya Kihistoria ya Tabatabaei Katika Mji wa Kashan, Iran

IQNA – Nyumba ya Kihistoria ya Tabatabaei iliyoko katika mji wa Kashan, katikati mwa Iran, ni mojawapo ya majengo maarufu zaidi ya enzi ya kipindi cha Qajar.
21:44 , 2025 Jun 04
Hija ni wajibu wa kidini na kisiasa katika fikra za Imam Khomeini

Hija ni wajibu wa kidini na kisiasa katika fikra za Imam Khomeini

IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Imam Khomeini (RA), Hija ni ibada isiyotenganishwa na wajibu wa kisiasa na wa kidini, amesema mwanazuoni mmoja kutoka Bahrain.
21:41 , 2025 Jun 04
Mashindano ya Qur'ani kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu yaweza kuchangia uhai wa kiroho katika vyuo

Mashindano ya Qur'ani kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu yaweza kuchangia uhai wa kiroho katika vyuo

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu ni fursa muhimu ya kuleta unyenyekevu na uhai wa kiroho katika mazingira ya vyuo vikuu kupitia usomaji wa Qur'ani Tukufu, amesema afisa mmoja wa elimu.
21:25 , 2025 Jun 04
Msomi wa Lebanon: Fikra za Imam Khomeini zinategemea Qur’ani

Msomi wa Lebanon: Fikra za Imam Khomeini zinategemea Qur’ani

IQNA – Mtaalamu mmoja kutoka Lebanon amesema kuwa lengo la harakati ya Imam Khomeini ilikuwa kuelekea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na hivyo fikra zake zikitokana na misingi ya Qur’ani Tukufu.
21:15 , 2025 Jun 04
5