IQNA

Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yanavutia maelfu

Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yanavutia maelfu

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
16:37 , 2025 Aug 25
Wafanyakzi  3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

Wafanyakzi 3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

IQNA – Zaidi ya waajiriwa 3,500 na wafanyakazi wa misaada kutoka Shirika la Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) wamewahudumia waumini wanaotembelea Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad.
16:31 , 2025 Aug 25
Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

IQNA – Idadi ya waumini wa Umrah wanaoingia katika jiji takatifu la Madina inaongezeka katika msimu mpya wa Umrah ulioanza baada ya Hija ya 2025.
16:22 , 2025 Aug 25
PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Kipalestina, zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu nchini Yemen.
16:17 , 2025 Aug 25
Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

IQNA – Zaidi ya waumini milioni 5.2 wameingia jiji takatifu la Mashhad, lililoko kaskazini-mashariki mwa Iran, kutoka maeneo mbalimbali katika siku za mwisho za mwezi wa Safar uliomalizika jana, amesema afisa mmoja.
16:04 , 2025 Aug 25
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.
20:29 , 2025 Aug 24
Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

Australia yashuhudia maandamano makubwa zaidi ya kulaani Israel na kuunga mkono Palestina

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
11:31 , 2025 Aug 24
Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

Msikiti wa karne moja unawakilisha utambulisho uliojaa utata wa Waislamu wa Marekani

IQNA – Huko Cedar Rapids, Iowa, msikiti wa mkongwe zaidi nchini Marekani, ambao ni jengo dogo jeupe la mbao, ni ushahidi wa kimya wa historia ndefu ya Waislamu wa Marekani.
11:12 , 2025 Aug 24
Maandamano London kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

Maandamano London kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel huko Gaza

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
09:47 , 2025 Aug 24
Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

IQNA – Kikundi cha kwanza cha Wairano wanaotekeleza Umrah baada ya Hajj ya mwaka huu kimewasili Madina, Saudi Arabia baada ya kuondoka mapema Jumamosi asubuhi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini jijini Tehran.
09:56 , 2025 Aug 23
Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu hiyo, mchezaji wa kimataifa kutoka Morocco, Mohamed Jaouab.
09:42 , 2025 Aug 23
Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina hasa katika Ukanda wa Gaza.
08:18 , 2025 Aug 23
Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein (AS) pamoja na ndugu yake, Hadhrat Abbas (AS).
08:11 , 2025 Aug 23
Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka jamii za kikabila zilizokuwa zikitumbukia katika migawanyiko na mifarakano.
16:17 , 2025 Aug 22
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
15:58 , 2025 Aug 22
1